Mhusika: Shaykh Abdur Razzaaq bin Abdul Muhsin Al-Badr حفظه الله
Mkusanyiko wa nasaha mbalimbali iliyokusanywa na Shaykh Abdur Razzaaq bin Abdul Muhsin Al-Badr حفظه الله.
عن أبي رقية تميم بن أوس الداري رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: «الدين النصيحة» قلنا: لمن؟ قال: «لله، ولكتابه، ولرسوله، ولأئمة المسلمين وعامتهم».
Kutoka kwa Abii Ruqayya Tamiim bin Awsi Ad-Daariy (رضي الله عنه) kwamba Mtume (ﷺ) amesema : ” Dini ni nasaha” tukasema : Ni kwa nani ?akasema: Kwa ajili ya Allah, na kwa ajili ya kitabu chake,na kwa ajili ya Mtume wake,na kwa ajili ya viongozi wa Kiislamu na waislamu kwa ujumla”. (Sahih Muslim: 55a)
01 – Dhikr – SubhanAllah wa bi Hamdihi
02 – Hasanat (Mema) Huzaa Mema na Uwovu Huzaa Uovu
03 – Jifundishe Kunyamaza
04 – Kujipamba na Tabia Njema (Husnul al-Khuluq)
05 – Kupanda kwa Gharama ya Maisha
06 – Kuwaombea Watoto Kila Mara
07 – Maasi (Maovu) na Madhara Yake
08 – Mambo Mawili Yanaharibu Saum (Funga) ya Mja
09 – Mto (Pillow) wa Kaburi
10 – as-Salah ni Kipimo ya Kila Jambo la Muislamu
11 – as-Salah ni Mizani ya Mja
12 – Sunnah ya Kuweka Ndevu
13 – Kithirisha Du’a Allah akufishe Katika Tawheed (Uislamu)
14 – Ulimi Hudhihirisha Akili ya Mtu/Mja
15 – Umuhimu Wa Kuimarisha Misikiti
16 – Uvivu na Ajizi – Muislamu si mtu wa ajizi wala hawi mvivu bali ni mtu thabiti, mtendaji kazi na huwa na pupa ya maendeleo
17.
18.
<< Tutaendelea kuchapisha nasaha zaidi pindi zitakapokuwa tayari ان شاءالله (in shaa Allah) >>