Ishi na Watu Kwa Tabia Nzuri

Kitabu: Al-Arba’uwn An-Nawawiyyah Hadeeth 18: Mche Allaah Popote Ulipo.

Imepokelewa kutoka kwa Abuu Dharr Jundub bin Junaadah Na Abuu ‘Abdir-Rahmaan Mu’aadh bin Jabal (Radhwiya Allaahu ‘anhumaa) kwamba Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: ““Mche Allaah popote pale ulipo. Na fuatisha kitendo kiovu kwa kitendo kizuri ili kikifute (kilicho kiovu), na ishi na watu kwa tabia nzuri.”  [At-Tirmidhiy na kasema ni Hadiyth Hasan. Na katika  baadhi ya nukuu: Hasan Swahiyh]

Download: Bonyeza nukta tatu (three dots) ili kuweza kupata durus kwa simu yako.

‘Subhanaka Allahumma wa bihamdika, ash-hadu an la ilaha illa Anta, astaghfiruka wa atubu ilaika 

(O Allah, You are free from every imperfection; praise be to You. I testify that there is no true god except You; I ask Your Pardon and turn to You in repentance)

Share this, BaarakAllah Feekum: [“One who guides to something good has a reward similar to that of its doer”] – Hadeeth

Mshirikishe mwenzako (Share)

The Most Comprehensive and Authentic Explaination of the Quran!
Tafsir Ibn Kahtir (10 Vol)
Purchase the complete Tafsir Ibn Kathir (10 Vol Abridged) By Dar-us-Salam Publications.