Kutaka Baraka Kutoka Kwa Miti Na Mawe

Kitabu: Al-Qawl al-Mufeed Sharh Kitab at-Tawhid – Shaykh Muhammad ibn Salih al-‘Uthaymin (رَحِمَهُ ٱللَّٰهُ)

Sauti: Ustadh Abu Hudheifa (حفيظ الله)

Kutafuta baraka ni miongoni mwa mambo yasio kubali maoni na ambayo Muislamu katika kuyatenda ni lazima awe na hoja ya kisheria ya Qur’ani na Sunna (Hadithi sahihi za Mtume ). Kutafuta baraka kuliko haramishwa ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha imani ya mja, na ni katika njia kuu za kuitia kasoro Tawheed.

‘Subhanaka Allahumma wa bihamdika, ash-hadu an la ilaha illa Anta, astaghfiruka wa atubu ilaika 

(O Allah, You are free from every imperfection; praise be to You. I testify that there is no true god except You; I ask Your Pardon and turn to You in repentance)

Share this, BaarakAllah Feekum: [“One who guides to something good has a reward similar to that of its doer”] – Hadeeth

Mshirikishe mwenzako (Share)

The Most Comprehensive and Authentic Explaination of the Quran!
Tafsir Ibn Kahtir (10 Vol)
Purchase the complete Tafsir Ibn Kathir (10 Vol Abridged) By Dar-us-Salam Publications.