Mahimizo ya Kushikamana na Swalah ya Usiku (Qiyam al-Layl)

Allaah (Jalla wa ´alaa) amesema kuhusu waja wake:

وَالَّذِينَ يَبِيتُونَ لِرَبِّهِمْ سُجَّدًا وَقِيَامًا

“Na wale wanaokesha usiku kwa ajili ya Mola wao wakisujudu na kusimama.” – Surah al-Furqan (25):64

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa mara nyingi akiswali swalah ya usiku na akisema:

“Enyi watu! Enezeni salaam, lisheni chakula, waungeni ndugu na swalini usiku wakati watu wamelala ili muingie Peponi kwa usalama.” – {at-Tirmidhiy (2485), Ibn Maajah (3251) na Ahmad (23835). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ul-Jaami´” (7865).}

‘Subhanaka Allahumma wa bihamdika, ash-hadu an la ilaha illa Anta, astaghfiruka wa atubu ilaika 

(O Allah, You are free from every imperfection; praise be to You. I testify that there is no true god except You; I ask Your Pardon and turn to You in repentance)

Share this, BaarakAllah Feekum: [“One who guides to something good has a reward similar to that of its doer”] – Hadeeth

Mshirikishe mwenzako (Share)

The Most Comprehensive and Authentic Explaination of the Quran!
Tafsir Ibn Kahtir (10 Vol)
Purchase the complete Tafsir Ibn Kathir (10 Vol Abridged) By Dar-us-Salam Publications.