Makatazo ya Kutukana Upepo

Makatazo ya kutukana upepo

Imani inapanda na inashuka. Tawheed inapanda na inashuka. Kutukana upepo kunaipunguza imani kwa sababu upepo umeumbwa na Allah na ni wenye kuendeshwa. Unatumwa kwa kheri na shari. Hivyo hautakiwi kutukanwa. Badala yake muumini anatakiwa kutendea kazi yale aliyofundisha Mtume (ﷺ) katika Hadiyth:

Ubayd bin Ka´b (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (ﷺ) amesema:

“Msitukane upepo. Mtapoona mnachokichukia basi semeni:

اللَّهُمَّ إنا نسألك خيرها وخيرَ مَا فِيها وخيرَ ما أُرْسِلَتْ بِهِ وَ نعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّها وَشر مَا فِيهَا وشَرَّ ما أُرسلت به

“Ee Allaah! Tunakuomba kheri za upepo huu, kheri ya yale yaliyomo ndani yake na kheri ya yale yaliyoamrishwa kuvileta. Na tunajilinda Kwako kutokamana na shari ya upepo huu, shari ya yaliyomo ndani yake na shari ya yale yaliyoamrishwa kuvileta.”

‘Subhanaka Allahumma wa bihamdika, ash-hadu an la ilaha illa Anta, astaghfiruka wa atubu ilaika 

(O Allah, You are free from every imperfection; praise be to You. I testify that there is no true god except You; I ask Your Pardon and turn to You in repentance)

Share this, BaarakAllah Feekum: [“One who guides to something good has a reward similar to that of its doer” – Saheeh Muslim Vo. 3, No. 4665]

The Most Comprehensive and Authentic Explaination of the Quran!
Tafsir Ibn Kahtir (10 Vol)
Purchase the complete Tafsir Ibn Kathir (10 Vol Abridged) By Dar-us-Salam Publications.