Neema ya Uislamu

Imaam al-Barbahaariy (Rahimahu Allaah) amesema:

Tambua kuwa Uislamu ndio Sunnah na Sunnah ndio Uislamu na kimoja katika hayo hakisimami isipokuwa kwa kingine.

Uislamu ni njia waliyokuja nayo Mitume (´alayhimus-Swalaatu was-Salaam). Mitume wote walikuja na Uislamu. Kila Mtume aliyelingania katika dini ya Allaah na akaja na Shari´ah kutoka kwa Allaah, basi huo ndio Uislamu. Uislamu ni kumuabudu Allaah (´Azza wa Jall) katika kila wakati kwa yale aliyoyaweka katika Shari´ah.

Download: Bonyeza nukta (dots) tatu kupata audio kwa simu yako

‘Subhanaka Allahumma wa bihamdika, ash-hadu an la ilaha illa Anta, astaghfiruka wa atubu ilaika 

(O Allah, You are free from every imperfection; praise be to You. I testify that there is no true god except You; I ask Your Pardon and turn to You in repentance)

Share this, BaarakAllah Feekum: [“One who guides to something good has a reward similar to that of its doer”] – Hadeeth

Mshirikishe mwenzako (Share)

The Most Comprehensive and Authentic Explaination of the Quran!
Tafsir Ibn Kahtir (10 Vol)
Purchase the complete Tafsir Ibn Kathir (10 Vol Abridged) By Dar-us-Salam Publications.