Sunnah Iliyogurwa na Waislamu Wengi
Risalah: Sunan Mahjura | Abandoned Sunnah (سنن-مهجورة-ـ-الشيخ-محمد-بن-سعيد-رسلان)
By: Sheikh Muhammad Saeed Raslan حفظه الله تعالى
01 – Maana (Ta’rif) ya as-Sunnah
02 – Matunda ya Kushikamana na as-Sunnah
03 – Pupa na Bidii ya Maswahaba Kujifundisha as-Sunnah
04 – Alama na Athari ya Watu Kugura Sunnah ya Mtume ﷺ
05 – Sunnah ya Iftar (Kufuturu)
06 – Sunnah ya Kuchelewesha Suhoor (Daku)
07 – Sunnah ya Kuanza na Upande wa Kulia Wakati wa Kuvaa
08 – Sunnah ya Kudumu Katika Wudhu
09 – Sunnah ya Kupiga Mswaki (Siwak)
10 – Sunnah ya Swalaah Ya Istikhaarah na Dua Yake
11 – Sunnah ya Kusukutua Mdomo na Kupandisha Maji Puani
12 – Sunnah ya Kutawadha Kabla ya Kulala na Kulala kwa Ubavu wa Kulia
13 – Sunnah ya kukhafifisha Kufuturu (Iftar)
14 – Sunnah ya Sujood ash-Shukr
16 – Sunnah ya Kunyamaza na Kusema Mithili ya Anavyosema Muadhini
17 – Sunnah ya Kubisha Hodi Mara Tatu na Si Zaidi ya Hapo
18 – Sunnah ya Kupakusa Mahali ya Kulala (Kitanda) na Kulala
19 – Sunnah ya Kujifanyia Ruqya (Kujisomea Qur’an)
20 – Sunnah – Du’a ya Kuvaa Nguo Mpya
21 – Sunnah ya Wudhu Kabla ya Kuoga Ghusl
22 – Sunnah ya Dhikr Baada ya as-Salah ya Faradhi
23 – Sunnah ya Tahiyyat (Kusalimia) al-Masjid
24 – Sunnah ya Kufanya Ibada ya Sunnah kwa Siri
25 – Sunnah ya Kuweka Sutrah (Kizuizi) Katika as-Salah
26 – Sunnah ya Kuitikia Ameen Pamoja na Imam Katika as-Salah