Uchawi na ubaya wake kwa dini na eeman ya mja, familia na jamii ya kiislamu kwa jumla.
Kitabu: As-Sihr wa khutturatuh (Uchawi na ubaya wake)
By: Shaykh Dr. Mohammed Bin Ghaith Ghaith (hafidhahullah)
عن أبي هريرة رضي الله عنه مرفوعاً: “اجتنبوا السبع المُوبِقَات، قالوا: يا رسول الله، وما هُنَّ؟ قال: الشركُ بالله، والسحرُ، وقَتْلُ النفسِ التي حَرَّمَ الله إلا بالحق، وأكلُ الرِّبا، وأكلُ مالِ اليتيم، والتَّوَلّي يومَ الزَّحْفِ، وقذفُ المحصناتِ الغَافِلات المؤمنات”. [صحيح] – [متفق عليه]
Kutoka kwa Abuu Huraira (رَضِيَ ٱللَّٰهُ عَنْهُ -radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)- Hadithi Marfu’u: “Jiepusheni na mambo saba yenye kuangamiza, wakasema: Ewe Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ni yapi hayo? Akasema: Ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, na uchawi, na kuuwa nafsi aliyoiharamisha Mwenyezi Mungu ispokuwa kwa haki, na kula riba, na kula mali ya yatima, na kukimbia siku ya mapambano, na kuwazulia machafu wanawake waumini wenye kujihifadhi wenye kujizuia na machafu”. Sahihi – Wamekubaliana Bukhaariy na Muslim (rahimahumullah)
01-Uchawi na Ubaya Wake (Mgao wa Elimu)
09-Sababu ya 1-4 ya Kuingia Katika Mtego wa Uchawi